Zaburi 78:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akaendelea kuwanyeshea mana ili wale,+Naye akawapa nafaka ya mbinguni.+ Zaburi 105:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Waliomba, naye akaleta kware,+Na kwa mkate kutoka mbinguni akaendelea kuwashibisha.+ Yohana 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+ 1 Wakorintho 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+
31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+