Kutoka 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, ninawanyeshea mkate kutoka mbinguni,+ na kila mtu anapaswa kwenda kukusanya kiasi kinachomtosha siku baada ya siku,+ ili niwajaribu nione kama watafuata sheria yangu au la.+
4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, ninawanyeshea mkate kutoka mbinguni,+ na kila mtu anapaswa kwenda kukusanya kiasi kinachomtosha siku baada ya siku,+ ili niwajaribu nione kama watafuata sheria yangu au la.+