Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;

      Akawapa nafaka ya mbinguni.+

      25 Wanadamu wakala mkate wa wenye nguvu;*+

      Aliwapa mkate wa kutosha wa kuwashibisha.+

  • Zaburi 105:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Waliomba, naye akaleta kware;+

      Aliendelea kuwashibisha mkate kutoka mbinguni.+

  • Yohana 6:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mababu zetu walikula mana nyikani,+ kama ilivyoandikwa: ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’”+ 32 Kisha Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia, Musa hakuwapa mkate kutoka mbinguni, lakini Baba yangu anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.

  • Yohana 6:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni. Si kama vile walivyokula mababu zenu na bado wakafa. Yeyote anayekula mkate huu ataishi milele.”+

  • 1 Wakorintho 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi akina ndugu, ninataka mjue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+

  • 1 Wakorintho 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki