Zaburi 78:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;Akawapa nafaka ya mbinguni.+ 25 Wanadamu wakala mkate wa wenye nguvu;*+Aliwapa mkate wa kutosha wa kuwashibisha.+ Zaburi 105:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Waliomba, naye akaleta kware;+Aliendelea kuwashibisha mkate kutoka mbinguni.+ Yohana 6:31, 32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mababu zetu walikula mana nyikani,+ kama ilivyoandikwa: ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’”+ 32 Kisha Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia, Musa hakuwapa mkate kutoka mbinguni, lakini Baba yangu anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni. Yohana 6:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni. Si kama vile walivyokula mababu zenu na bado wakafa. Yeyote anayekula mkate huu ataishi milele.”+ 1 Wakorintho 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi akina ndugu, ninataka mjue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+ 1 Wakorintho 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+
24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;Akawapa nafaka ya mbinguni.+ 25 Wanadamu wakala mkate wa wenye nguvu;*+Aliwapa mkate wa kutosha wa kuwashibisha.+
31 Mababu zetu walikula mana nyikani,+ kama ilivyoandikwa: ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’”+ 32 Kisha Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia, Musa hakuwapa mkate kutoka mbinguni, lakini Baba yangu anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.
58 Huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni. Si kama vile walivyokula mababu zenu na bado wakafa. Yeyote anayekula mkate huu ataishi milele.”+
10 Basi akina ndugu, ninataka mjue kwamba mababu zetu wote walikuwa chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari+