Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:12-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Nimesikia manung’uniko ya Waisraeli.+ Waambie hivi: ‘Jioni kabla ya giza kuingia* mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate,+ nanyi mtajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+

      13 Basi jioni hiyo kware wakaja na kufunika kambi,+ na asubuhi utando wa umande ulizunguka kambi yote. 14 Utando huo wa umande ulipotoweka, kitu laini, kinachovunjikavunjika,+ kitu laini kama theluji, kilienea kwenye ardhi nyikani. 15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+

  • Zaburi 78:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;

      Akawapa nafaka ya mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki