5 Kisha Mungu akamwambia: “Fanya hivyo ili waamini kwamba Yehova Mungu wa mababu zao, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo,+ amekutokea.”+
7 Nami nitawachukua muwe watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.