Kutoka 29:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ Kumbukumbu la Torati 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova Mungu wenu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote yaliyo duniani.+ 2 Samweli 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Uliwaimarisha watu wako Waisraeli ili wawe watu wako milele;+ na wewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+ Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+
6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova Mungu wenu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote yaliyo duniani.+
24 Uliwaimarisha watu wako Waisraeli ili wawe watu wako milele;+ na wewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+
12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+