16 Sasa nenda, uwakusanye wazee wa Israeli na kuwaambia, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu amenitokea, Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Yakobo, naye alisema: “Hakika nimewatazama+ na nimeona mambo mnayotendewa nchini Misri.
31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea uangalifu Waisraeli+ na kwamba alikuwa ameona mateso yao,+ wakainama chini na kusujudu.