Nehemia 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mfalme alikuwa ametoa amri kwa ajili yao,+ na kulikuwa na mpango kamili kwa ajili ya waimbaji kulingana na mahitaji ya kila siku.+ Methali 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+ Mathayo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Utupe leo mkate wetu kwa ajili ya siku hii;+
23 Kwa maana mfalme alikuwa ametoa amri kwa ajili yao,+ na kulikuwa na mpango kamili kwa ajili ya waimbaji kulingana na mahitaji ya kila siku.+
8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+