Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+

      Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+

      Wala uzao wake ukitafuta mkate.+

  • Methali 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Maneno yasiyo ya kweli na ya uwongo uyaondolee mbali nami.+ Usinipe umaskini wala utajiri.+ Acha nile chakula nilichoamriwa,+

  • Mathayo 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa hiyo, msihangaike kamwe juu ya kesho,+ kwa maana kesho itakuwa na mahangaiko yake yenyewe. Unatosha kila siku ubaya wake.

  • 1 Timotheo 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo, tukiwa na chakula na kitu cha kujifunika, tutaridhika na vitu hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki