Kutoka 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nitawanyeshea mkate kutoka mbinguni;+ nao watu watatoka nje na kuokota kila mtu kiasi chake siku baada ya siku,+ ili nipate kuwajaribu iwapo watatembea katika sheria yangu au hapana.+ Kutoka 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Musa akawaambia: “Mtu yeyote asiache chochote mpaka asubuhi.”+
4 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nitawanyeshea mkate kutoka mbinguni;+ nao watu watatoka nje na kuokota kila mtu kiasi chake siku baada ya siku,+ ili nipate kuwajaribu iwapo watatembea katika sheria yangu au hapana.+