Zaburi 101:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+ Luka 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+ 1 Petro 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+
5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+
14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+