Kumbukumbu la Torati 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki wewe katika kila tendo la mkono wako.+ Anajua vema juu ya kutembea kwako katika nyika hii kuu. Miaka hii 40+ Yehova Mungu wako amekuwa pamoja nawe. Hukukosa kitu chochote.”’+ Kumbukumbu la Torati 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+ Amosi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami mwenyewe niliwatoa ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami nikaendelea kuwatembeza kupitia nyikani miaka 40,+ ili mwimiliki nchi ya Mwamori.+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki wewe katika kila tendo la mkono wako.+ Anajua vema juu ya kutembea kwako katika nyika hii kuu. Miaka hii 40+ Yehova Mungu wako amekuwa pamoja nawe. Hukukosa kitu chochote.”’+
5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+
10 Nami mwenyewe niliwatoa ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami nikaendelea kuwatembeza kupitia nyikani miaka 40,+ ili mwimiliki nchi ya Mwamori.+