Hosea 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wakati ninapotaka kuponya Israeli,+ ndipo kosa la Efraimu pia hufunuliwa,+ na mambo mabaya ya Samaria;+ kwa maana wamezoea kusema uwongo,+ na mwizi huingia ndani; kikundi cha waporaji hushambulia ghafula upande wa nje.+
7 “Wakati ninapotaka kuponya Israeli,+ ndipo kosa la Efraimu pia hufunuliwa,+ na mambo mabaya ya Samaria;+ kwa maana wamezoea kusema uwongo,+ na mwizi huingia ndani; kikundi cha waporaji hushambulia ghafula upande wa nje.+