63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Ninyi wenyewe mmeona msiba wote ambao nimeleta juu ya Yerusalemu+ na juu ya majiji yote ya Yuda, na, tazama, hayo leo ni mahali palipoharibiwa, na ndani yake hamna mkaaji.+