2 Wafalme 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake. Yeremia 39:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+ Yeremia 52:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+
10 Na jeshi lote la Wakaldayo lililokuwa pamoja na mkuu wa walinzi likazibomoa kuta za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.
8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+
14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+