Ezra 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa mfalme na ajue kwamba, jiji hili likijengwa na kuta zake kukamilishwa, hawatatoa kodi+ wala ushuru+ wala ada, na jambo hilo litaleta hasara kwa hazina+ za wafalme. Nehemia 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wengine nao walikuwa wakisema: “Tumekopa pesa kwa ajili ya ushuru+ wa mfalme juu ya mashamba yetu na mizabibu yetu.+
13 Sasa mfalme na ajue kwamba, jiji hili likijengwa na kuta zake kukamilishwa, hawatatoa kodi+ wala ushuru+ wala ada, na jambo hilo litaleta hasara kwa hazina+ za wafalme.
4 Wengine nao walikuwa wakisema: “Tumekopa pesa kwa ajili ya ushuru+ wa mfalme juu ya mashamba yetu na mizabibu yetu.+