17 “Na sasa ikiwa inaonekana vema kwa mfalme, acha ufanywe uchunguzi+ katika nyumba ya hazina za mfalme iliyopo hapo Babiloni, ili ionekane kama kweli Mfalme Koreshi alitoa agizo+ la kuijenga upya nyumba hiyo ya Mungu katika Yerusalemu; naye mfalme atutumie uamuzi wake kuhusu jambo hili.”
21 “Nami mwenyewe, Mfalme Artashasta, nimetoa agizo+ kwa waweka-hazina+ wote walioko ng’ambo ya Mto,+ kwamba kila kitu anachowaomba Ezra+ kuhani, mwandikaji wa sheria ya Mungu wa mbinguni, kitafanywa mara moja,