4 Na eneo lenu litakuwa kutoka nyika hii na huu mlima Lebanoni mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati, yaani, nchi yote ya Wahiti,+ na mpaka kwenye ile Bahari Kuu upande wa magharibi.+
24 Kwa maana alikuwa akitawala kila kitu upande huu wa ule Mto,+ kuanzia Tifsa mpaka Gaza,+ naam, wafalme wote upande huu wa ule Mto;+ naye akawa na amani+ katika maeneo yake yote, kuzunguka pande zote.