15 Tena akatengeneza mitambo ya vita katika Yerusalemu, ubuni wa mafundi, ili iwekwe juu ya minara+ na juu ya sehemu za pembeni, ili irushe mishale na mawe makubwa. Basi sifa+ yake ikaenea mbali sana, kwa kuwa alisaidiwa kwa njia ya ajabu mpaka akawa na nguvu.