Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+

  • 1 Wafalme 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Sulemani alikuwa mtawala juu ya falme zote kutoka ule Mto+ hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Walikuwa wakileta zawadi na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ kule Hamathi+ alipokuwa akienda zake kuweka mamlaka yake kwenye mto Efrati.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tena akatengeneza mitambo ya vita katika Yerusalemu, ubuni wa mafundi, ili iwekwe juu ya minara+ na juu ya sehemu za pembeni, ili irushe mishale na mawe makubwa. Basi sifa+ yake ikaenea mbali sana, kwa kuwa alisaidiwa kwa njia ya ajabu mpaka akawa na nguvu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki