Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Daudi akaweka kambi za kijeshi katika Siria ya Damasko,+ na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wenye kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumpa Daudi wokovu popote alipoenda.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha.

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na kutoka kwa Wafilisti walikuwa wakimletea Yehoshafati zawadi+ na pesa zikiwa ushuru.+ Pia Waarabu+ walikuwa wakimletea makundi, kondoo-dume elfu saba na mia saba na mbuzi-dume elfu saba na mia saba.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Waamoni+ wakaanza kumpa Uzia ushuru.+ Mwishowe sifa+ yake ikaenea mpaka Misri, kwa kuwa alionyesha nguvu kwa kiwango kisicho cha kawaida.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki