2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+
6 Kisha Daudi akaweka kambi za kijeshi katika Siria ya Damasko,+ na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wenye kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumpa Daudi wokovu popote alipoenda.+
14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha.
11 Na kutoka kwa Wafilisti walikuwa wakimletea Yehoshafati zawadi+ na pesa zikiwa ushuru.+ Pia Waarabu+ walikuwa wakimletea makundi, kondoo-dume elfu saba na mia saba na mbuzi-dume elfu saba na mia saba.+