2 Samweli 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+ Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+