6 Zaidi ya hayo, Daudi akaweka kambi za kijeshi+ katika Siria ya Damasko; na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wa kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
6 Kisha Daudi akaweka kambi za kijeshi katika Siria ya Damasko,+ na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi wenye kuleta ushuru.+ Na Yehova akaendelea kumpa Daudi wokovu popote alipoenda.+