Ezra 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Mimi, Mfalme Artashasta, nimewaagiza waweka-hazina wote katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto* wampe bila kukawia kila kitu atakachoomba Ezra,+ kuhani na mwandishi wa* Sheria ya Mungu wa mbinguni, Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:21 “Kila Andiko,” kur. 75-76
21 “Mimi, Mfalme Artashasta, nimewaagiza waweka-hazina wote katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto* wampe bila kukawia kila kitu atakachoomba Ezra,+ kuhani na mwandishi wa* Sheria ya Mungu wa mbinguni,