6 Huyo Ezra alitoka Babiloni. Alikuwa mwandishi* na aliijua vizuri* Sheria ya Musa,+ iliyotolewa na Yehova Mungu wa Israeli. Mfalme alimpa kila kitu alichoomba, kwa maana mkono wa Yehova Mungu wake ulikuwa juu yake.
2 Basi kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kutaniko+ la wanaume, wanawake, na wote walioweza kusikiliza na kuelewa, katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba.+