Mambo ya Walawi 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+ 1 Wafalme 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele ya Mfalme Sulemani wakati wa sherehe* katika mwezi wa Ethanimu,* yaani, mwezi wa saba.+
24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+
2 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele ya Mfalme Sulemani wakati wa sherehe* katika mwezi wa Ethanimu,* yaani, mwezi wa saba.+