Ezra 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Mungu aliyefanya jina lake+ likae hapo na apindue mfalme na mtu yeyote atakayenyoosha mkono wake ili kuivunja na kuiharibu+ nyumba hiyo ya Mungu, iliyoko Yerusalemu. Mimi, Dario, natoa agizo. Nalo litendwe mara moja.” Mhubiri 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”
12 Na Mungu aliyefanya jina lake+ likae hapo na apindue mfalme na mtu yeyote atakayenyoosha mkono wake ili kuivunja na kuiharibu+ nyumba hiyo ya Mungu, iliyoko Yerusalemu. Mimi, Dario, natoa agizo. Nalo litendwe mara moja.”
4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”