Ezra 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa tungependa mfalme ajue kwamba ikiwa jiji hili litajengwa upya na kuta zake kukamilishwa, hawatalipa kodi, ushuru,+ wala ada, na jambo hilo litasababisha hasara kwa hazina za wafalme.
13 Sasa tungependa mfalme ajue kwamba ikiwa jiji hili litajengwa upya na kuta zake kukamilishwa, hawatalipa kodi, ushuru,+ wala ada, na jambo hilo litasababisha hasara kwa hazina za wafalme.