Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+

  • Nehemia 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nao wenyewe, mababu zetu, wakatenda kwa kimbelembele+ na kufanya shingo zao kuwa ngumu,+ wala hawakusikiliza amri zako.

  • Zaburi 81:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;+

      Na Israeli hakuonyesha utayari wowote kunielekea.+

  • Yeremia 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao,+ bali wakaendelea kutembea kila mmoja katika ukaidi wa moyo wake mbaya;+ na kwa hiyo nikaleta juu yao maneno yote ya agano hili nililowaamuru kufanya, lakini hawakufanya.’”

  • Ezekieli 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘ “Nao wakaanza kuniasi,+ wala hawakukubali kunisikiliza. Kila mmoja wao hakuyatupilia mbali machukizo ya macho yake, nazo sanamu zao za mavi za Misri hawakuziacha,+ hivi kwamba nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiliza hasira yangu juu yao katikati ya nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki