Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 62:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wokovu wangu na utukufu wangu uko juu ya Mungu.+Mwamba wangu wenye nguvu, kimbilio langu liko katika Mungu.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
7 Wokovu wangu na utukufu wangu uko juu ya Mungu.+Mwamba wangu wenye nguvu, kimbilio langu liko katika Mungu.+