Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na utakaposema moyoni mwako,+ ‘Kwa nini mambo haya yamenipata?’+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako marinda yako yameondolewa yasiwe kifuniko;+ visigino vyako vimetendewa kijeuri.

  • Maombolezo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yerusalemu amefanya dhambi waziwazi.+ Ndiyo sababu amekuwa chukizo.+

      Wote waliokuwa wakimheshimu wamemtendea kwa dharau,+ kwa maana wameuona uchi wake.+

      Yeye pia anaugua+ na kugeuza mgongo wake.

  • Hosea 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa nitazifunua sehemu zake za siri zionekane na macho ya wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ na hakuna mwanamume atakayemnyakua mkononi mwangu.+

  • Nahumu 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazama! Mimi niko dhidi yako,”+ asema Yehova wa majeshi, “nami nitaweka upindo wa marinda yako juu ya uso wako, nami nitayafanya mataifa yauone uchi wako,+ na falme aibu yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki