22 Na utakaposema moyoni mwako,+ ‘Kwa nini mambo haya yamenipata?’+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako marinda yako yameondolewa yasiwe kifuniko;+ visigino vyako vimetendewa kijeuri.
10 Na sasa nitazifunua sehemu zake za siri zionekane na macho ya wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ na hakuna mwanamume atakayemnyakua mkononi mwangu.+
5 “Tazama! Mimi niko dhidi yako,”+ asema Yehova wa majeshi, “nami nitaweka upindo wa marinda yako juu ya uso wako, nami nitayafanya mataifa yauone uchi wako,+ na falme aibu yako.