37 kwa hiyo, tazama, ninawakusanya pamoja wote wanaokupenda kwa tamaa ambao ulikuwa mwenye kupendeza kwao na wale wote uliowapenda pamoja na wale wote uliowachukia, nami nitawakusanya hao pamoja juu yako kutoka pande zote na kuwafunulia sehemu zako za siri, nao wataziona sehemu zako zote za siri.+