Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na utakaposema moyoni mwako,+ ‘Kwa nini mambo haya yamenipata?’+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako marinda yako yameondolewa yasiwe kifuniko;+ visigino vyako vimetendewa kijeuri.

  • Yeremia 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nami pia nitainua marinda yako juu ya uso wako, na hakika aibu yako itaonwa,+

  • Ezekieli 16:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 kwa hiyo, tazama, ninawakusanya pamoja wote wanaokupenda kwa tamaa ambao ulikuwa mwenye kupendeza kwao na wale wote uliowapenda pamoja na wale wote uliowachukia, nami nitawakusanya hao pamoja juu yako kutoka pande zote na kuwafunulia sehemu zako za siri, nao wataziona sehemu zako zote za siri.+

  • Ezekieli 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nao watakuchukulia hatua kwa chuki na kuchukua mali zako zote ulizofanyia kazi na kukuacha ukiwa uchi na tupu;+ nao utupu wa matendo yako ya uasherati na mwenendo wako mpotovu na matendo yako ya ukahaba utafunuliwa.+

  • Hosea 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa nitazifunua sehemu zake za siri zionekane na macho ya wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ na hakuna mwanamume atakayemnyakua mkononi mwangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki