Kumbukumbu la Torati 28:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+ Ezekieli 16:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitakutia mkononi mwao, nao hakika watakibomoa kilima+ chako na vilele vyako hakika vitabomolewa,+ nao watakuvua mavazi+ yako na kuvichukua vyombo vyako vyenye urembo+ na kukuacha ukiwa uchi na tupu.
51 Nao hakika watakula uzao wa wanyama wako wa kufugwa na mazao ya udongo wako mpaka utakapokuwa umeangamizwa,+ nao hawatakuachia nafaka yoyote, divai mpya au mafuta, mtoto wa ng’ombe wako au uzao wa kundi lako, mpaka watakapokuwa wamekuangamiza.+
39 Nami nitakutia mkononi mwao, nao hakika watakibomoa kilima+ chako na vilele vyako hakika vitabomolewa,+ nao watakuvua mavazi+ yako na kuvichukua vyombo vyako vyenye urembo+ na kukuacha ukiwa uchi na tupu.