Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yerusalemu amefanya dhambi waziwazi.+ Ndiyo sababu amekuwa chukizo.+

      Wote waliokuwa wakimheshimu wamemtendea kwa dharau,+ kwa maana wameuona uchi wake.+

      Yeye pia anaugua+ na kugeuza mgongo wake.

  • Ezekieli 16:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 kwa hiyo, tazama, ninawakusanya pamoja wote wanaokupenda kwa tamaa ambao ulikuwa mwenye kupendeza kwao na wale wote uliowapenda pamoja na wale wote uliowachukia, nami nitawakusanya hao pamoja juu yako kutoka pande zote na kuwafunulia sehemu zako za siri, nao wataziona sehemu zako zote za siri.+

  • Ezekieli 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nao watakuchukulia hatua kwa chuki na kuchukua mali zako zote ulizofanyia kazi na kukuacha ukiwa uchi na tupu;+ nao utupu wa matendo yako ya uasherati na mwenendo wako mpotovu na matendo yako ya ukahaba utafunuliwa.+

  • Hosea 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa nitazifunua sehemu zake za siri zionekane na macho ya wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ na hakuna mwanamume atakayemnyakua mkononi mwangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki