Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 16:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kwa sababu uchu wako umemiminwa+ nazo sehemu zako za siri+ zimefunuliwa katika matendo yako ya ukahaba kuwaelekea wale wanaokupenda+ kwa tamaa na kuelekea sanamu zako zote za mavi zenye kuchukiza,+ hata kwa damu ya wana wako ambao ulizipa hizo,+

  • Ezekieli 16:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 kwa hiyo, tazama, ninawakusanya pamoja wote wanaokupenda kwa tamaa ambao ulikuwa mwenye kupendeza kwao na wale wote uliowapenda pamoja na wale wote uliowachukia, nami nitawakusanya hao pamoja juu yako kutoka pande zote na kuwafunulia sehemu zako za siri, nao wataziona sehemu zako zote za siri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki