Ezekieli 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Watakutendea kwa chuki na kuchukua kila kitu ulichofanyia kazi kwa jasho+ nao watakuacha ukiwa uchi, bila chochote. Uchi unaoaibisha wa uasherati wako na mwenendo wako mchafu na ukahaba wako utafunuliwa.+
29 Watakutendea kwa chuki na kuchukua kila kitu ulichofanyia kazi kwa jasho+ nao watakuacha ukiwa uchi, bila chochote. Uchi unaoaibisha wa uasherati wako na mwenendo wako mchafu na ukahaba wako utafunuliwa.+