-
Ezekieli 16:36, 37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
36 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu uchu wako umemwagwa na uchi wako umefunuliwa ulipokuwa ukifanya ukahaba na wapenzi wako na sanamu zako zote zinazoudhi na kuchukiza*+ ambazo hata ulizitolea dhabihu ya damu ya wanao,+ 37 kwa hiyo ninawakusanya pamoja wapenzi wote ambao umewapa raha, wote uliowapenda na wote uliowachukia. Nitawakusanya pamoja dhidi yako kutoka pande zote na kuwafunulia uchi wako, nao watakuona ukiwa uchi kabisa.+
-