Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nawe ukijiuliza moyoni mwako, ‘Kwa nini nimepatwa na mambo haya?’+

      Umevuliwa nguo yako kwa sababu ya kosa lako kubwa+

      Na visigino vyako vimetendewa kikatili.

  • Maombolezo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yerusalemu ametenda dhambi nzito sana.+

      Ndiyo sababu amekuwa kitu kinachochukiza sana.

      Wote waliokuwa wakimheshimu sasa wanamtendea kama kitu kinachodharauliwa, kwa maana wameuona uchi wake.+

      Yeye mwenyewe analia kwa maumivu+ na kujificha kwa aibu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki