Yeremia 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nawe ukijiuliza moyoni mwako, ‘Kwa nini nimepatwa na mambo haya?’+ Umevuliwa nguo yako kwa sababu ya kosa lako kubwa+Na visigino vyako vimetendewa kikatili. Ezekieli 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Watakutendea kwa chuki na kuchukua kila kitu ulichofanyia kazi kwa jasho+ nao watakuacha ukiwa uchi, bila chochote. Uchi unaoaibisha wa uasherati wako na mwenendo wako mchafu na ukahaba wako utafunuliwa.+
22 Nawe ukijiuliza moyoni mwako, ‘Kwa nini nimepatwa na mambo haya?’+ Umevuliwa nguo yako kwa sababu ya kosa lako kubwa+Na visigino vyako vimetendewa kikatili.
29 Watakutendea kwa chuki na kuchukua kila kitu ulichofanyia kazi kwa jasho+ nao watakuacha ukiwa uchi, bila chochote. Uchi unaoaibisha wa uasherati wako na mwenendo wako mchafu na ukahaba wako utafunuliwa.+