31 Kwa maana nimeisikia sauti kama ya mwanamke mgonjwa, taabu kama ya mwanamke anayezaa mtoto wake wa kwanza,+ sauti ya binti Sayuni ambaye anaendelea kuvuta pumzi kwa nguvu. Anaendelea kuinyoosha mikono yake:+ “Ole wangu, sasa, kwa maana nafsi yangu imechoka kwa sababu ya wauaji!”+