Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+ Maombolezo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sayuni amenyoosha mikono yake.+ Hana mfariji.+Yehova ametoa amri kuhusu Yakobo kwa adui zake wote wanaomzunguka.+Yerusalemu limekuwa chukizo kati yao.+
15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+
17 Sayuni amenyoosha mikono yake.+ Hana mfariji.+Yehova ametoa amri kuhusu Yakobo kwa adui zake wote wanaomzunguka.+Yerusalemu limekuwa chukizo kati yao.+