Maombolezo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yerusalemu amefanya dhambi waziwazi.+ Ndiyo sababu amekuwa chukizo.+ Wote waliokuwa wakimheshimu wamemtendea kwa dharau,+ kwa maana wameuona uchi wake.+Yeye pia anaugua+ na kugeuza mgongo wake. Ezekieli 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, nyumba ya Israeli walikuwa wakikaa katika nchi yao, nao wakaendelea kuichafua kwa njia yao na kwa matendo yao.+ Njia yao imekuwa mbele zangu kama uchafu wa hedhi.+
8 Yerusalemu amefanya dhambi waziwazi.+ Ndiyo sababu amekuwa chukizo.+ Wote waliokuwa wakimheshimu wamemtendea kwa dharau,+ kwa maana wameuona uchi wake.+Yeye pia anaugua+ na kugeuza mgongo wake.
17 “Mwana wa binadamu, nyumba ya Israeli walikuwa wakikaa katika nchi yao, nao wakaendelea kuichafua kwa njia yao na kwa matendo yao.+ Njia yao imekuwa mbele zangu kama uchafu wa hedhi.+