Ezekieli 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, watu wa nyumba ya Israeli walipokuwa wakiishi katika nchi yao, waliichafua kwa njia zao na matendo yao.+ Njia zao zilikuwa kama uchafu wa hedhi kwangu.+
17 “Mwana wa binadamu, watu wa nyumba ya Israeli walipokuwa wakiishi katika nchi yao, waliichafua kwa njia zao na matendo yao.+ Njia zao zilikuwa kama uchafu wa hedhi kwangu.+