Mambo ya Walawi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+ Isaya 64:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na sisi sote tumekuwa kama mtu asiye safi,Na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama kitambaa cha hedhi.+ Sisi sote tutanyauka kama jani,Na makosa yetu yatatupeperusha kama upepo.
2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+
6 Na sisi sote tumekuwa kama mtu asiye safi,Na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama kitambaa cha hedhi.+ Sisi sote tutanyauka kama jani,Na makosa yetu yatatupeperusha kama upepo.