Mambo ya Walawi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+ Mambo ya Walawi 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kitu chochote anacholalia muda wote ambao yeye si safi kwa sababu ya hedhi hakitakuwa safi, na kila kitu anachokalia hakitakuwa safi.+
2 “Waambie Waisraeli, ‘Mwanamke akipata mimba na kuzaa mtoto wa kiume, mwanamke huyo hatakuwa safi kwa siku saba, atakuwa kama anavyokuwa katika siku zake za hedhi.+
20 Kitu chochote anacholalia muda wote ambao yeye si safi kwa sababu ya hedhi hakitakuwa safi, na kila kitu anachokalia hakitakuwa safi.+