Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu. Isaya 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nchi imechafuliwa na wakaaji wake,+Kwa maana wamezivunja sheria,+Wamebadili amri,+Na kuvunja agano linalodumu.*+ Yeremia 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+ Yeremia 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+ Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukizaNao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+
38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.
5 Nchi imechafuliwa na wakaaji wake,+Kwa maana wamezivunja sheria,+Wamebadili amri,+Na kuvunja agano linalodumu.*+
7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+ Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+
18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+ Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukizaNao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+