Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+

      Damu ya wana wao na mabinti wao wenyewe

      Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+

      Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.

  • Isaya 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nchi imechafuliwa na wakaaji wake,+

      Kwa maana wamezivunja sheria,+

      Wamebadili amri,+

      Na kuvunja agano linalodumu.*+

  • Yeremia 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kisha nikawaleta ninyi katika nchi yenye mashamba ya matunda,

      Ili mle matunda yake na vitu vyake vyema.+

      Lakini mliingia humo na kuitia unajisi nchi yangu;

      Mkaufanya urithi wangu kuwa kitu kinachochukiza.+

  • Yeremia 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+

      Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukiza

      Nao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki