Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Msijichafue kwa kufanya jambo lolote kati ya mambo hayo, kwa maana mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu yamejichafua kwa mambo hayo yote.+

  • Hesabu 35:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+ 34 Msiitie unajisi nchi mnayoishi ndani yake, ambamo ninakaa; kwa maana mimi, Yehova, ninakaa miongoni mwa Waisraeli.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Manase aliendelea kuwapotosha watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, akasababisha watende mambo maovu zaidi kuliko mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya Waisraeli.+

  • Yeremia 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watu huuliza: “Mtu akimfukuza mke wake naye aondoke na kuchukuliwa na mwanamume mwingine, je, mtu huyo anapaswa kumrudia tena?”

      Je, nchi hiyo haijachafuliwa kabisa?+

      “Umefanya ukahaba na marafiki wengi,+

      Na je, sasa unapaswa kurudi kwangu?” asema Yehova.

  • Yeremia 23:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana nchi imejaa wazinzi;+

      Kwa sababu ya laana nchi inaomboleza+

      Na malisho ya nyikani yamekauka.+

      Njia yao ni ya uovu, nao wanatumia vibaya nguvu zao.

      11 “Nabii pamoja na kuhani wamechafuliwa.*+

      Hata katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata uovu wao,”+ asema Yehova.

  • Maombolezo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hilo lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

      Waliomwaga damu ya waadilifu waliokuwa katika jiji hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki