28 “‘Kwa kuwa hungeweza kutoshelezwa, ulifanya pia ukahaba na wana wa Ashuru,+ lakini baada ya kufanya nao ukahaba, bado hukutosheka. 29 Basi ukazidisha ukahaba wako kuelekea nchi ya wafanyabiashara* na kuelekea kwa Wakaldayo,+ lakini bado hukutosheka.