Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nilipoona hivyo, nikamfukuza Israeli asiye mwaminifu akiwa na cheti kamili cha talaka+ kwa sababu ya uzinzi wake.+ Lakini Yuda dada yake mwenye hila hakuogopa; yeye pia alienda na kufanya ukahaba.+ 9 Aliona ukahaba wake kuwa jambo dogo, naye akaendelea kuichafua nchi na kufanya uzinzi na mawe na miti.+

  • Yeremia 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ninawezaje kukusamehe kwa jambo hili?

      Wana wako wameniacha,

      Nao wanaapa kwa kitu ambacho si Mungu.+

      Nilitosheleza mahitaji yao,

      Lakini waliendelea kufanya uzinzi,

      Na kukusanyika katika nyumba ya kahaba.

  • Yeremia 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Matendo yako ya uzinzi+ na kilio chako cha uchu,

      Ukahaba wako uliopotoka.*

      Juu ya vilima, katika mashamba,

      Nimeyaona matendo yako yanayochukiza.+

      Ole wako, Ee Yerusalemu!

      Utaendelea kuwa mchafu mpaka lini?”+

  • Ezekieli 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndani yako mwanamume mmoja anatenda kwa njia inayochukiza na mke wa jirani yake,+ mwingine anamnajisi binti mkwe wake mwenyewe kwa mwenendo mchafu,+ na mwingine anamnajisi dada yake, binti ya baba yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki