-
Yeremia 3:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Nilipoona hivyo, nikamfukuza Israeli asiye mwaminifu akiwa na cheti kamili cha talaka+ kwa sababu ya uzinzi wake.+ Lakini Yuda dada yake mwenye hila hakuogopa; yeye pia alienda na kufanya ukahaba.+ 9 Aliona ukahaba wake kuwa jambo dogo, naye akaendelea kuichafua nchi na kufanya uzinzi na mawe na miti.+
-