Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wale wanaowaka tamaa kati ya miti mikubwa,+

      Chini ya kila mti wenye majani mengi,+

      Wanaowachinja watoto kwenye mabonde,*+

      Chini ya mipasuko ya majabali?

       6 Mawe laini ya bondeni* ndilo fungu lako.

      Naam, hayo ndiyo fungu lako.+

      Hata unayamiminia matoleo ya kinywaji na kutoa zawadi juu yake.+

      Je, niridhike* na mambo hayo?

  • Yeremia 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+

      Na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’

      Lakini wamenigeuzia mimi mgongo wao badala ya uso wao.+

      Watakapopatwa na msiba watasema,

      ‘Simama utuokoe!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki