-
Isaya 57:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Wale wanaowaka tamaa kati ya miti mikubwa,+
Chini ya kila mti wenye majani mengi,+
Wanaowachinja watoto kwenye mabonde,*+
Chini ya mipasuko ya majabali?
6 Mawe laini ya bondeni* ndilo fungu lako.
Naam, hayo ndiyo fungu lako.+
Hata unayamiminia matoleo ya kinywaji na kutoa zawadi juu yake.+
Je, niridhike* na mambo hayo?
-