Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 23:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yule mkubwa aliitwa Ohola,* na dada yake Oholiba.* Wakawa wangu nao wakazaa wana na mabinti. Kuhusu majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.

      5 “Ohola akaanza kufanya ukahaba+ alipokuwa wangu. Aliwatamani kwa uchu wapenzi wake,+ majirani zake Waashuru.+

  • Ezekieli 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi nikamtia mikononi mwa wapenzi wake, wana wa Ashuru,+ ambao aliwatamani kwa uchu.

  • Hosea 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mshtakini mama yenu; mshtakini,

      Kwa maana yeye si mke wangu+ nami si mume wake.

      Anapaswa kuacha ukahaba*

      Na uzinzi kutoka kati ya matiti yake,

  • Hosea 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko.

      Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+

      Sitawapenda tena;+

      Wakuu wao wote ni wakaidi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki